ADVERT 1

ADVERT 1
Kilio na kimbilio la wanahabari Tanzania

Monday, November 11, 2013


 Yaliyojiri siku ya wakulima wa kilimo cha Mpunga Dakawa Morogoro

Na, Kizito Ugulumo, Dakawa Morogoro

Mheshimiwa Joel Bendera, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akiwa katika maadhimisho ya siku ya wakulima(Field Day) iliyofanyika tarehe 22 July 2013 katika mashamba ya washirika wa kilimo cha umwagiliaji (WAWAKUDA) Dakawa – Mvomero.

 Mmiliki wa kampuni ya Tanseed Int Ltd Ndugu Mashauri akitoa utambulisho wa wageni waalikwa


Wali huu ni alama ya uzalishaji wa chakula bora ambao umepikwa vizuri kwa mafiga matatu ikiwa ni Tanseed Int, Wawakuda na Nafaka feed the future


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akipata maelezo juu ya mbegu aina ya TXD 306 “SARO 5” inavyozalishwa na inavyotoa mazao mengi kwa ekari. Mkuu wa mkoa huo aliongozana na kamati ya ulinzi na usalama mkoa kushuhudia tukio hilo la mazao bora kutoka katika shamba lililolimwa na kupandwa kitaalamu kwa  mbegu bora ya TXD 306 kutoka Tanseed International Ltd.

No comments:

Post a Comment