Je waijua bendera ya Tanganyika iliyokuwa ikipepea kabla ya Uhuru!
Hiii ndiyo bendera ya Tanganyika ambayo kimsingi yapaswa kupepea tena baada ya kuundwa kwa serikali tatu.
Na hii ndo bendera ya ndugu zetu itakayokuwa nchi jirani endapo muundo wa serikali tatu uliomo katika rasimu ya katiba utapitishwa
Na endapo yote hayo hapo juu yasipotokea basi tutaendelea kupepea na bendera hii ambayo mpaka sasa ndo utambulisho wetu baada ya kuunganisha bendera hizo kuu za nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar.
No comments:
Post a Comment