VIDEO: THE BEST OF WAKAZI FREESTYLE VOL. 1...!!!
Kwa hisani ya jestinageorge.blogspot.com
A compilation of Wakazi Freestyles over the years Part 1. Check it out below:
Part 2 comin' soon.
You might also like:
LEWIS HAMILTON TO REPLACE MICHAEL SCHUMACHER AS HE QUITS MCLAREN & JOINS MERCEDES...!!!
LEWIS HAMILTON has quit McLaren and joined Mercedes in a £60million deal.
The
Brit replaces Michael Schumacher — whose second retirement from F1 will
be confirmed by the German car giant at its Stuttgart HQ later today.
Hamilton
said: “It is now time for me to take on a fresh challenge and I am very
excited to begin a new chapter racing for the Mercedes Formula One
Team.
“Mercedes-Benz has such an incredible heritage in motorsport, along with a passion for winning, which I share.
“Together,
we can grow and rise to this new challenge. I believe that I can help
steer the Silver Arrows to the top and achieve our joint ambitions of
winning the world championships.”
The
27-year-old will link up with boss Ross Brawn, who guided Schuey to
seven world titles and was also behind Jenson Button’s 2009 world crown.
Brawn said: “I am delighted to welcome Lewis Hamilton to our team.
“The
arrival of a driver of Lewis’ calibre is a testament to the standing of
Mercedes-Benz in Formula One and I am proud Lewis shares our vision and
ambition for the success of the Silver Arrows.
“I
believe the combination of Lewis and Nico (Rosberg) will be the most
dynamic and exciting pairing on the grid next year and I am looking
forward to what we can achieve together."
Culled from The Sun
FLOYD MAYWEATHER & RAY-J MAKE IT RAIN AT DIAMONDS STRIP CLUB IN ATLANTA...!!!
WARNING!!! RACHETNESS INSIDE!!!
So you thought the Money Team came to an end??? Well you were wrong, in fact they are just getting started.
Original
members Ray-J and Floyd Mayweather Jr. (sans 50 Cent being as though he
is with Team Manny Pacquiao) hit up the strip club Diamonds in Atlanta,
Georgia last night.
It was reported the 2 spent $50,000 on entertainment with bottles of Patron and Grey Goose on deck
SUPER SPORT YAITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA KATIKA MEDANI YA MICHEZO KWA KUZINDUA WIKI YA SOKA TANZANIA...!!!
Meneja
Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw. Peter Fauel akifafanua ujio wa Super
Sport nchini Tanzania na kuipongeza TFF kwa kuonyesha ushirikiano na
kuwa Chaneli hiyo itaonyesha mechi tano za Ligi ya Tanzania kuanzia leo
Ijumaa Septemba 28 hadi Jumatano Oktoba 3 mwaka 2012.
Mkuu
wa Super Sport barani Afrika Bw. Andre Venter akielezea furaha yake
kuja Tanzania na kupata fursa ya kulitangaza soka la Tanzania kimataifa
kupitia chaneli ya Super Sport amesema chaneli hiyo imechafanya kazi
katika nchi za Kenya na Uganda na Sasa ni wakati wa Tanzania kuonyesha
kiwango chake cha soka Kimataifa.
Rais
wa Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) Bw. Leordiga Tenga akitoa
nasaha zake wakati wa uzinduzi wa wiki ya Soka Tanzania ambapo amevitaka
vilabu vitakavyopata bahati ya kuonekana katika chaneli hiyo kuonyesha
kiwango cha soka la Tanzania na kuzingatia nidhamu haswa mechi ya Watani
wa Jadi Yanga na Simba ambao wanatambulika barani Afrika kama timu
zenye upinzani mkali.
Meneja
Masoko wa Multichoice Tanzania Bi. Furaha Samalu akifurahi jambo na
watangazaji wa kipindi cha Africa Soccer Show wakati wa halfa hiyo.
CLICK HERE TO READ MORE / ENDELEA KUSOMA
MAONYESHO YA SARAKASI YA MAMA AFRIKA YAENDELEA KURINDIMA NEW WORLD CINEMA DAR...!!!
"Karibuni watanzania wote muone sarakasi na utamaduni wa kitanzania".
Trade
Marketing Supervisor wa kampuni ya simu za mkononi ya TIGO ambao ndio
wadhamini wakuu wa maonyesho ya 'Sarakasi ya Mama Afrika' yanayoendelea
katika viwanja vya New World Cinema Bw. Gaudens Mushi akiwakaribisha
wageni waliohudhudhuria onyesho hilo. kushoto ni Afisa Mahusiano wa
TIGO.
Pichani Juu na Chini ni mfululizo wa maonyesho ya sarakasi ya 'Mama Africa Circus'.
CLICK HERE TO READ MORE / ENDELEA KUSOMA
MSAADA WA HALI NA MALI UNAHITAJIKA KWA HAWA WATOTO...!!!
Elia na Elisha ni watoto mapacha na wana umri wa mika 12 na wanasoma darasa la 3shule
ya Msingi Katanini iliyopo Moshi vijijini karibu na shamba la TPC
mkoani Kilimanjaro, Watoto hawa wanaishi na bibi na babu yao mtaa wa Matindigani kata ya Pasua mjini Moshi-Kilimanjaro. Hawa watoto walitelekezwa na wazazi wao wakiwa tangu wadogo sana baada ya kutokea kutokuelewana kwa wazazi wao.
Elia
na Elisha wanaishi kwenye mazingira hatarishi sana, (hawapati mlo
kamili, hawana mavazi, hawana vifaa vya shule) Tangu wameanza darasa la kwanza hawajawahi kulipa ada na wanasoma kwa fadhila za walimu wa shule ya msingi Katanini. Mwaka huu wamepata msaada wa sare za shule ila bado wanamahitaji yaViatu vya shule, begi la shule, soksi za shule na wanahitaji mtu angalau wakuwalipia masomo ya ziada kwa kuwa wako nyuma kidogo ya wenzao.
Elia na Elisha hawapati chakula nyumbani kwa sababu bibi na babu hawafanyi kazi na wana mtoto mgonjwa wa muda mrefu hivyo chochote kidogo kinachopatikana hupelekwa kwa huyo mgonjwa. Kwa kutambua hilo shule ya msingni katanini wamekuwa wakiwapa mlo wa mchana na uji wa saa 4 asubuhi ambapo uji huo ni kwa ajili ya watoto wa darasa la kwanza na pili.
Natoa wito kwa yeyote mwenye aliyeguswa na matatizo ya watoto hawaanaweza kuwasaidia. Mahitaji muhimu kama:
· Chakula.
· Mavazi.
· Viatu vya shule.
· Ada ya masomo ya ziada. (Tuition)
· Begi la shule.
· Soksi za shule.
· Mavazi.
· Viatu vya shule.
· Ada ya masomo ya ziada. (Tuition)
· Begi la shule.
· Soksi za shule.
Unaweza kutoa chochete kati ya vilivyotajwa hapo juu na si lazima utoe fedha. Pia kama una kitu chochote ambacho wewe hauna matumizi nacho mfano nguo ambazo hauzitumii tena badala ya kuzichoma au kuzitupa tafadhali naomba tuzikusanye ili tuwape watu wenye uhitaji.
Unaweza kupiga namba hizi 0754 090699 au 0712 492131 (John Kessy)
Mwanyekiti wa mtaa 0755 707347 (Renata)
Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wana haki sawa na watoto wengine.
Source: www.kingjofa.blogspot.co.uk
You might also like:
YUMMY MUM TO BE JESSICA SIMPSON IN DOLCE & GABBANA SEQUINED ...
MH. GODBLESS LEMA AKIKAGUA MOJA WAPO YA VITENDEA KAZI VYA ...
JG'S SHOE PICK OF THE DAY: CHRISTIAN LOUBOUTIN'S TECH ...
BREAKING NEWS: HATIMAYE MH. JOSEPH MBILINYI aka SUGU & RUGE ...
FISTULA INATIBIKA.TOA KWA MOYO KUOKOA MAISHA YA MAMA...!!!
#INSTAFASHIONISTA OF THE DAY: JACKIE CLIFF...!!!
Fabulous #instafashionsita of the day
Jackie Cliff is a model, fashionista and owner of a Cosmo Mix Beauty Shop located in Baraka Plaza Dar es Salaam Tanzania.
No comments:
Post a Comment