ADVERT 1

ADVERT 1
Kilio na kimbilio la wanahabari Tanzania

Monday, October 1, 2012

 Mmiliki wa blog ndugu Kizito Galus ugulumu akiwa na kaka yake Dr Enock Ugulumu wakiwa kwenye kikao cha TEOSA kilichofanyika kitaifa Mkoani Morogoro hivi karibuni.

Moja ya mambo ambayo mmiliki wa mtandao huu wa www.kizitogalus.blogspot.com ni ushirikiano na mahusiano mazuri kwa ndugu jamaa na marafiki hasa katika kujengeana mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa taifa na kwa jamii inozunguka maeneo hayo.Namshukuru mungu kwa kunipa kipaji cha ubunifu wa mambo mbalimbali ikihusisha tafiti(Research) za mambo kadha wa kadha, ushauri wangu ni kwako mdau msomaji wa blog hii jitume na ongeza maarifa utafanikiwa

No comments:

Post a Comment