ADVERT 1

ADVERT 1
Kilio na kimbilio la wanahabari Tanzania

Saturday, October 20, 2012

"Tubadilishane dogo"

"Tubadilishane dogo" pengine ndivyo asemavyo CDF Davis Mwamunyange akiwa ktk foleni na baadhi ya vijana wake walioko kambini Msata ambao wanatarajiwa kuelekea Sudan kilinda amani, maana yawezekana ni siku nyingi hajatumia mustin.
Hii inafurahisha sana, mustin zanikumbusha mbali sana hizi. 
by rwebangira blog

No comments:

Post a Comment