Mmiliki wa blog hii www.kizitogalus.blogspot.com akiwa anarejea kutoka mkoani Manyara akiwa na ziara ya kuzunguka kanda ya kati na pwani katika kuhakikisha taratibu za taasisi zisizo za kiserikali zinatakeleza majukumu yake kikamilifu katika kuboresha maisha ya Mtanzania
No comments:
Post a Comment