MWENYEKITI WA CCM,RAIS JAKAYA KIKWETE APIGA PICHA YA PAMOJA NA MA-BLOGGER - KATIBU MKUU KINANA NDIYE MPIGA PICHA
Mwenyekiti
wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na
ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka
37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini...
No comments:
Post a Comment